Ni vigumu kuamini, lakini ukweli ni
kwamba Mr.Nice ameirudia tena ile tabia yake ya Ukicheche na
kuwapanga wanawake mithiri ya vyombo kabatini iliyomfanya afulie
na hatimaye kuwa omba omba.....
Taarifa toka nchini Kenya ambako kwa
sasa msanii huyo yupo huko ni kwamba, Mr. Nice kwa sasa alala
baa akiwa amezungukwa na warembo kadhaa wanaojua kuzitumia
pesa...!!!!
Nice amekuwa akionekana katika mitaa
kadhaa ya jiji la Nairobi akiwa na "mabodigadi wa kike" ambao
amejitolea kuwadhamini LUNCH, DINNER na MATANUZI mengine...
0 comments:
Post a Comment