HAHAHAHAHAHAAAAAA..............Baada ya Kufukuzwa Kwenye Kipindi EATV kwa Kuvaa Ndala sasa Juma Nature Aanzisha Biashara ya Kuuza Ndala



Suala la mtangazaji wa EATV Sam Misago kumtoa nje ya studio Juma Nature kutokana na kuvaa ndala, limemsaidia kiongozi huyo wa Wanaume Halisi kuanzisha biashara mpya, ya ndala  Akiongea na XXL ya Clouds FM, Nature amesema tayari ameshasaini mkataba na kampuni moja kuanza kuuza ndala hizo ziitwazo Halisi na wiki ijayo zinaweza kuingia mtaani.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment