KWA NINI SHOW NYINGI ZA DIAMOND ALIZOFANYA UINGEREZA WAHUDHURIAJI NI WANAWAKE TENA WANAOVAA NUSU UCHI HUKU WENGINE WAKING'ANG'ANIA KUMLA DENDA??JE NI MAKAHABA?ANGALIA PICHA HAPA

Tangu msanii Diamond Platnum aanze kufanya shows zake nchini Uingereza kumekuwa na maswali mengi miongoni mwa wadau mbalimbali wa muziki na swali kubwa ni kwa nini show zake karibu zote wahudhuriaji wakubwa ni wanawake tena wanaovaa nusu uchi huku kukiwa na idadi ndogo sana ya wanaume katika maonyesho hayo?Inasemekana wakina dada hao ni wale ambao ni  makahaba wanaojiuza katika kumbi mbalimbali za starehe huko uingereza huku wakiwa na mavazi ya hasara yaani nusu uchi..........Je ni kweli kwamba PLATNUM ANAWAFANYIA SHOWS MAKAHABA?Angalia kwa makini picha hizi
Hii ni show ya diamond nchini Uingereza alipokuwa akichambua na kulinganisha mauno ya mashabiki wake
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment