NANDO:MWAKILISHI MWINGINE WA TZ ANAYETAZAMIWA KUFANYA MAKUBWA BIG BROTHER


Huyu ni mwakilishi Mwingine wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa MWAKA HUU 2013.Anaitwa AMMY NANDO ana umri wa miaka 22 na kazi yake ni modeling.Muda mwingi alikuwa akiishi Los Angeles Marekani ni model katika Agency iitwayo MODELMAYHEM.Huyu pamoja na mwanadaa Fezza Kessy ndiyo wawakilishi wetu paleeeeeee BIG BROTHER THE CHASE

 



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment