Marehemu Mzee Abby Sykes ambaye ni Baba
mzazi wa mwimbaji wa Bongo Fleva Prince
Dullysykes, alifariki saa 8 mchana February
15 2015 akiwa hospitali ya taifa Muhimbili
kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Dullysykes amelitolea ufafanuzi suala hilo
ikiwa ni pamoja na kuelezea kitu
kilichosababisha umauti wa baba yake
ambapo anasema
"Mzee alikua ana vidonda katika miguu na
ndiyo chanzo kikubwa, sumu ikasambaa
ikasababisha kifo chake, vidonda
vilishindwa kupona kwa ajili ya moshi wa
sigara ila zaidi hakuwa na tatizo jingine
lolote manake baba yangu alikua strong"
‘Alianza kuugua vidonda miezi minne
iliyopita, miezi miwili alikua anavumilia tu
lakini miezi miwili ya mwishoni ndiyo
vilizidi kumsumbua, mazishi tunategemea
kuyafanya February 16 2015 saa kumi jioni
kwenye makaburi ya Kisutu lakini safari ya
kwenda msikitini tutaanza saa 7 mchana"–
Dully.
Mzee Sykes alizaliwa mwaka 1952.
mzazi wa mwimbaji wa Bongo Fleva Prince
Dullysykes, alifariki saa 8 mchana February
15 2015 akiwa hospitali ya taifa Muhimbili
kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Dullysykes amelitolea ufafanuzi suala hilo
ikiwa ni pamoja na kuelezea kitu
kilichosababisha umauti wa baba yake
ambapo anasema
"Mzee alikua ana vidonda katika miguu na
ndiyo chanzo kikubwa, sumu ikasambaa
ikasababisha kifo chake, vidonda
vilishindwa kupona kwa ajili ya moshi wa
sigara ila zaidi hakuwa na tatizo jingine
lolote manake baba yangu alikua strong"
‘Alianza kuugua vidonda miezi minne
iliyopita, miezi miwili alikua anavumilia tu
lakini miezi miwili ya mwishoni ndiyo
vilizidi kumsumbua, mazishi tunategemea
kuyafanya February 16 2015 saa kumi jioni
kwenye makaburi ya Kisutu lakini safari ya
kwenda msikitini tutaanza saa 7 mchana"–
Dully.
Mzee Sykes alizaliwa mwaka 1952.
0 comments:
Post a Comment