Imekuwa ni kitendo cha kushtukiza pale watu wote walipokuwa wakiifurahia siku ya Jumapili sehemu mbalimbali, ndipo Kampuni inayotengeneza viatu vya Nike ilipoachia mzigo wake mpya ambayo ni brand ya mkali Kanye West, Air Yeezy 2 Red Octobers.
Kanye West..
Cha aajabu zaidi, ni kwamba baada ya Nike ku – tweet uwepo wa kiatu hicho, ilichukua takribani dakika11 kwa kiatu hicho kumalizika baada ya kununuliwa kwa haraka. Thamani ya kiatu hicho ni dola za kimarekani $245, sawa na Tsh 404, 250/-


0 comments:
Post a Comment