Hiki kitendo cha Drake ndio kimeonekana kama dharau kwa Diddy

Screen Shot 2014-02-20 at 10.43.46 AM
Drake na Diddy walikua kwenye stage ambapo Drake alikua anaperform ‘worst behavior’ kwenye night club ikiwa ni All-star weekend ambapo ghafla mic yake iliacha kufanya kazi wakati ya Diddy ilikua inafanya kazi hivyo Drake akampokonya Diddy ile yake kikiwa ni kitendo cha haraka bila hata kumpa ishara au kuomba.
Mitandao mbalimbali imeripoti kitendo hicho kama dharau ya Drake kwa mkongwe kama Diddy hata kama Drake ndio yuko juu kimuziki sasa hivi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment