D Knob Ajipanga Kuachia Video Ya Wimbo “Nishike Mkono” On Valentine’s Day

Baada ya kutambulisha na kuachia mdundo wake mpya, “Nishike Mkono” aliyomshirikisha msanii mrembo mwenye sauti nzuri toka THT, Mwasiti, wiki iliyopita, msanii D Knob ameona ni bora aendeleze mashambulizi ya kutoa  burudani inayojitosheleza hasa ukizingatia mwezi huu wa Makopa, wapenzi na mashabiki wengi wa burudani ya muziki wanategemea ngoma kali kusindikiza furaha inayoendelea kutawala.

D Knob yupo location akiwa anaendelea ku-shoot video ya wimbo huo, na amesema anategemea kuiachia mapema Ijumaa hii, ambayo ndiyo itakuwa kilele cha siku ile ya wapendanao, Vaentine’s Day, Februari 14.
DKNOB
D Knob tayari kwa ku-shoot video ya wimbo “Nishike Mkono”
MWASITI2
Mwasiti…
Kampuni ya E MEDIA ndiyo wanasimamia shooting ya Video hiyo !
MWASITI

Mwasiti On Set…Ready For Action
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment