Nasir
Jones aka Nas ni mmoja ya Mc wakali sana duniani waliowahi kushika
microphone. Utafahamu kuwa Kijana huyu kutoka Queens, New York aliyewahi
kutingisha dunia na album yake ya Illmatic amezungumzia rapper wake
wakali anaowakubali kwa sasa.
Hii Ndio Orodha Yake
1] Mac Miller
3] Kendrick Lamar
4] J.Cole
Kama unakumbuka mwaka 2006 Nas alisema Hiphop Imekufa “Hip Hop Is
Dead” na baada ya miaka nane sasa Nas Esco amebadilisha mtazamo wake na
anaamini muelekeo wa Hiphop ni mzuri mwaka 2014 sababu ya wasanii hawa.




0 comments:
Post a Comment