Producer Mswaki Azungumzia Kutumia Tena Sauti Ya Ngwear Kwenye Wimbo Mwingine Na Faida Zake.


Msanii Mswaki ambaye ni kijana aliyebarikiwa kuwa na sauti inayofanana na ya Albert amesema kuwa anaendelea kufanya nyimbo kwa ajili ya Ngwear kwa sababu Mungu amembariki na kitu kimoja anachofanana naye ambacho ni sauti yake tu na ataitumia kwa mazuri.
Mswaki kasema Baada ya Open Leter ,mpaka sasa amefanikiwa kurikodi kazi moja inaitwa ‘Ghetto’ na inazungumzia watu wakubwa na maarufu waliogusa Jamii na sasa wametutoka.
Kuhusu mapato ya kazi hizo Mswaki amesema atahakikisha kuwa kinachopatikana Kinarudi kwa Familia Ya Ngwear maana hio ndio sababu ya kufanya hivyo.
Pia keeping Ngwear’s voice alive ndio jambo la msingi hapa. Utasikia material mpya kwa sauti ya Ngwear kila mwaka.
Mswaki pia amesema studio yake mwaka huu inampango wakufanya kazi na wasanii wa nje ya Tanzania na tayari amewasiliana na Keko Na Stella Mwangi [S.T. L] .
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment