
TID ameonekana kumind kitendo hicho kwa kuuliza ni kwanini kamati ya Kili Awards ilimwita kwenye mkutano wa wasanii halafu haijamchagua hata kwenye kipengele kimoja cha kuwania Tuzo hizo ...??
Hiki ndicho alichokiandika TID kwenye ukurasa wake huo "Tid Topband..
0 comments:
Post a Comment