
MWANA FA ,D WA MAPACHA BIFU NZITO YANUKIA-SOMA ALICHOKIANDIKA D WA MAUJANJA
Wakati wa harakati zao za kupinga unyonyaji wa muziki Tanzania wasanii kadhaa walianzisha movement yao na kuipa jina la Ant Virus.Katika mfululizo wanyimbo zao kuna wimbo walioutoa ambao ulikuwa unamshutumu vikali msanii Mwana Fa.Mmoja kati ya wasanii waliokuwemo katika harakati hiyo na D' WA MAUJANJA ambae pia anawakilisha crew ya watu wawili akiwa na pacha wake K'WA MAPACHA kwa pamoja wakijulikana kama MAPACHA.Wasanii hao ndio walikuwa wamiliki wa studio ya PASU KWA PASU iliyofanya vizuri miaka ya nyuma kidogo.nI HIVI KARIBUNI 2 D' WA MAPACHA ametoka kufunga ndoa pia,Leo kupitia ukurasa wake wa facebook D'ameandika maneno makali kwenda kwenda kwa Mwana Fa na watu wamekuwa na mitazamo tafauti na comment nyingi zikisapoti maneno hayo na kumsema vibaya mwana Fa.Hiki ndicho alichokiandika kwenye wall yake'VIPI MWANA FA UNATUMIWA NA WAPUMBAVU KUSHINDANA NA WANAWAKE NA UNAKUBALI WE NI MWANAUME WA DIZAINI GANI?....aliishia hapo D wa maujanja saplaya.Nilipomtafut Mwana Fa kwa upande wake hakuweza kupatikana na hajazungumza chochote mpaka sasa.Je nini katafuata?Tusubiriii 2one

0 comments:
Post a Comment