MOKO WA MIUJIZA AONGELEA UKARIBU WAKE NA JIDE.......

Hivi karibuni rappers wanaoheshimika kwa uandishi mahiri wa mashairi, One the Incredible na Nikki Mbishi wameonekana wakichill na Lady Jaydee pamoja na kuchat mara kwa mara kwenye Twitter kitendo kinachoashiria kuwepo uhusiano wa karibu baina ya wasanii hao.


One amesema anamchukulia Lady Jaydee kama dada ambaye amelea wasanii wengi kwenye muziki wa Tanzania.

“Sisi tupo karibu naye sababu ni sister, anatupaga mawaidha mawili matatu. Watu wamesahau kwamba mimi video ya black on black tulifanyiaga Nyumbani Lounge muda mrefu mbona. Au watu wengi hawajui kwamba Jide alianzaga kuchana kabla hajaanza kuimba, watu wengi wameanza kumfuatilia Jide wakati anaimba hawajui kwamba Jide alikuwaga mchanaji vile vile. Ni support tu, it’s just love sababu tunaweza tukalink na watu tofauti na wanaonesha na nini…. na sisi ni new artists so it’s very good, ni support nzuri,”

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment