HUYU NDIYO DJ/PRODUCER WA HOT 97 ALIYEINGIA KATIKA SCANDAL YA KUWA NA MAHUSIANO YA JINSIA MOJA.

Aliyekuwa producer wa Notorious BIG kati ya nyota wengine wakali ambaye kwa sasa ni DJ wa Hot 97, Mister Cee, ameingia kwenye scandal kwa mara nyingine baada ya kunaswa akijichanganya na mwanaume anayejiuza huko Brooklyn.


Mister Cee alikamatwa baada ya kumfuata 'hooker' Yani Kijana Huyo Anaye Jiuza na kuanza Kuanza Kuongea Nae Kuhusu Bei Ya Huduma Yake Na gharama za kwenda kumstarehesha, pasipo kujua kuwa 'hooker' huyu alikuwa ni askari ambaye alikuwa Undercover.
Huu ni ushahidi mwingine ambao sio habari nzuri kwa wana hip hop kuwa Mr. Cee ni 'homosexual' na hii si mara yake ya kwanza kukamatwa akiwa anafanya tabia yake hii mbaya na wanaume wenzake..

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment