BUGATTI YA ACE HOOD KUUNGANISHA WAKALI KIBAAO KWENYE REMIX

Ace Hood yuko njiani kufanya remix ya ngoma yake iittwato BUGATTI ambayo inafanya vizuri kwa sasa na ndio ngoma inayoongoza kwa mauzo kwa sasa kwa upande wa nyimbo za Rap.Katika remix hiyo Ace Hood amewashirikisha wasanii kibao wakali humo ndani watakuwemo Wizzy Khalifa,Meek Mill,2 Chainz,Birdman,Dj Khaleed,French Montana,T.I na Futture'''''STAY TUNED..............
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment