Lile fumbo ambalo limekua likiumza vichwa vya wadakuzi wingi wakijiuliza Wema anawezeshwa na nani sasa limepatiwa majibu. Kwa mujibu wa wadaku waliobobea wametamba kunyaka fulu data za mnyange huyo ambae aliwaacha watu midomo wazi baada ya kumlipia msanii mwenzake mamilioni ya shilingi na kumuepusha kwenda Segerea. Wadau hao wa udaku wamekataa kumtaja boss huyo ambae ni milionea tena ni mtoto wa mwanasiasa ambaye aliwahi kuwa waziri mkuu wa Tanzania miaka ya nyuma."Unajua bwana Wema sasa hivi kaingia kwa tajiri asieishiwa huyu jamaa ana pesa kama mchanga, tena Wema akitulia mbona atafanya vitu vikubwa hadi watu washangae kwasababu jamaa huyo anampenda sana" Akiongea kuhusu karibu wake na huyo tajiri wa Wema mtoa data huyo alisema yeye ni rafiki wakaribu sana na bosi huyo na hapendi watu wajue ishu hizo hivyo akimtaja milionea huyo atajua yeye ndie aliyevujisha siri zake
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment