DIAMOND USO KWA USO NA CHIDY BENZI KWA MARA YA KWANZA TANGU AMUIMBE KAMA NDO ZAO KUTOBOA PUA


 Mie nilijua kitanuka hapo au anaminywa mtu mkono!!!!  lakini chakushangaza na kufurahisha hali ilikuwa ya aman furaha na upendo,tofauti na watu wengi walivyozania.

 Navyomjua rashidi akiweka sura hii ni kama anacheka mdomoni lakini moyoni ngumi mkononi.

Haya yote yalijili new maisha club usiku wa jana kwenye show ya uzinduzi wa video ya madee nani kamwaga pombe yangu.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment