Coming Soon:SAJNA KUACHIA NGOMA MPYA KARIBUNI..AMEWASHIRIKISHA C-SIR MADINI NA BEN PAUL

Msanii anayefanya vizuri kwenye game ya muziki wa bongo fleva anayejulikana kama SAJNA baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu hatimaye ameamua kurudi upya na safari hii akiwa na idea ya kuwashirikisha wasanii Ben Paul na C Sia madini.Ngoma hiyo inakwenda kwa jina la 'NINGUKUWA SINGLE' na imefanyika katika studio ya TETEMESHA chini ya producer KID BWAY ambae ndiye kama alimtambulisha Sajna kwenye game.Kwa mujibu wa Sajna mwenyewe ngoma hiyo itakuwa hewani kuanzia mwezi ujao.....Ningekuwa Single
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment