Mama Mzazi wa aliyekuwa Msanii wa Kizazi Kipya
Marehemu Mez B ameelezea Sababu ya Kifo cha
Mez B kwamba ni Ugonjwa wa Pneumonia ambao
ulikuwa unamumbua siku nyingi.
Akizungumza Mama yake Mez B
amesema Mez b amefariki Mapema saa Nne
Asubuhi nyumbani kwao huko Dodoma.
Katika Taarifa ya Mama Mzazi wa Mez B amesema
kuwa Mez B alilazwa na Kuruhusiwa Mara Kadhaa
katika Hospitali ya Mwananchi Dodoma na Juzi
juzi Alilazwa kwa takribani Siku 8 na baadae
Aliruhusiwa na Madaktari wakampa moyo kuwa
Atarudi katika hali yake ya Kawaida.
Vingine alivyovizungumzia Mama Mzazi wa Mez B
Ni Pamoja na Kuwa Mez B Hakuwahi Kufanikiwa
Kupata Mtoto.
Marehemu Mez B ameelezea Sababu ya Kifo cha
Mez B kwamba ni Ugonjwa wa Pneumonia ambao
ulikuwa unamumbua siku nyingi.
Akizungumza Mama yake Mez B
amesema Mez b amefariki Mapema saa Nne
Asubuhi nyumbani kwao huko Dodoma.
Katika Taarifa ya Mama Mzazi wa Mez B amesema
kuwa Mez B alilazwa na Kuruhusiwa Mara Kadhaa
katika Hospitali ya Mwananchi Dodoma na Juzi
juzi Alilazwa kwa takribani Siku 8 na baadae
Aliruhusiwa na Madaktari wakampa moyo kuwa
Atarudi katika hali yake ya Kawaida.
Vingine alivyovizungumzia Mama Mzazi wa Mez B
Ni Pamoja na Kuwa Mez B Hakuwahi Kufanikiwa
Kupata Mtoto.
0 comments:
Post a Comment