BABA MZAZI WZ GEEZ MABOV AFATILIA MIPANGO WA MWANAE KWA LAMAR


Baba wa marehemu geez mabovu mzee ally amemtembelea
producer lamar kwenye studio yake jijini dar-es-salaam na kuzungumza nae kuhusu kazi zilizoachwa na mwanae katika mikono ya producer huyo.
Mmiliki wa studio ya fish club lamar ameongea na makorokocho.co kuwa geez mabovu aliacha ngoma saba nazo zitatoka kwa njia ya album itakayo uzwa 
Lamar: nina mpango wa kuachia wimbo mmoja kutoka kwenye album hiyo.nyimbo zilivyo kamilika ni saba 

Najaribu kuangalia jinsi ya kuitoa album ambayo tutaweza kuiweka mkito hili watu wanunue.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment