David Mathenge a.k.a Nameless Ameonyesha kukerwa na blogs
zilizochapisha habari kwamba yeye na mama watoto wake Wahu wakiwa
familia yenye watoto 2 wanampango wa kutalakiana
Bloger George Moseti alichapisha habari hiyo jumapili iliyodai kuwa
vipimo vya DNa vilifanywa na kutoa majibu kuwa Nameless sio baba wa
mototo huyo
Kufuatia taarifa hiyo Nameless na mkewe Wahu walitumia mitandao ya
kijamii kufikisha barua zao alianza nameless kupitia mtandao wa facebook
na kukana taarifa ya taraka
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment