YAFAHAMIKA CHANZO CHA TALAKA KATI YA NAMELESS NA WAHU NI DNA!!

David Mathenge a.k.a Nameless Ameonyesha kukerwa na blogs zilizochapisha habari kwamba yeye na mama watoto wake Wahu wakiwa familia yenye watoto 2 wanampango wa kutalakiana
Bloger George Moseti alichapisha habari hiyo jumapili iliyodai kuwa vipimo vya DNa vilifanywa na kutoa majibu kuwa Nameless sio baba wa mototo huyo
Kufuatia taarifa hiyo Nameless na mkewe Wahu walitumia mitandao ya kijamii kufikisha barua zao alianza nameless kupitia mtandao wa facebook na kukana taarifa ya taraka
facebooknameless111114
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment