
Mshindi wa tunzo ya msanii chipukizi alijinyakulia Tuzo yake majuma mawili yaliyopita katika Tuzo kubwa kabisa nchini Kilimanjaro Music Awards KTMA Young Msodoki Killer amesema ana ndoto pevu na kubwa kwa sasa kimuziki ni kufanya kazi na wanamuziki mbali mbali nje ya mipaka ya Tanzania

Young Killer Msodoki ,ameongeza kuwa kwa sasa anatamani sana kufanya kazi na Rapper Bow wow kutoka nchini Marekani.
0 comments:
Post a Comment