Album inyowajumuisha wasanii watano kutoka Nigeria "The Evolution" kuingia sokoni May 29

Album moja inayowajumuisha wasanii wakubwa watano kutoka Nigeria akiwemo Iyanya, Emmanyra, Tekno Selebobo na Baci "The Evolution" inatarajiwa kuingia sokoni mwezi huu.
Wasanii hao ambao kwa pamoja wanajiita TripleMG wataingiza sokoni album hiyo yenye jumla ya nyimbo 14 ikifika May 29



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment