WYRE, CHAMELEONE, RADIO NA WEASEL WAMEINGIA KATIKA TUZO ZA DUNIA


WASANII wawili kutoka nchini Kenya Wyre, na Jose Chameleone wa Uganda ni miongoni mwa wanamuziki wa Afrika walioingia katika kinyang'anyiro cha kuwania tuzo ya mwanamuziki bora wa kiume katika tuzo za muziki za dunia, huku Radio& Weasel wakiwania kipengele cha kundi bora la muziki.
Wyre na Chameleone watachuana na wanamuziki wenye majina makubwa kimataifa katika kipengele hicho kama vile Jay Z, Kendrick Lamar, Justine Bieber, Chris Brown, Kanye West, Trey Songs na wengine.
Radio na Weasel wao wanachuana na makundi makubwa zaidi ya 240 duniani, yakiwemo Backstreet Boys, Bon Jovi, Boyzone, Destiny’s Child, Mafikizolo na P-Square.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment