HUU NDIO UJIO MPYA WA NOORAH....


Baada ya kuwa kimya kidogo kwenye hii industry ya muziki wa kizazi kipya msanii maarufu kama Noorah ambae hapo nyuma alitamba na baadhi ya ngoma zake kama Ice Cream, Ukurasa Wa Pili, Lugha Gongana na nyinginezo.
Sasa mpya kutoka kwa msanii huyo ni kuarajia anatarajia kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Acha Ushamba.
Ambapo ndani ya ngoma hiyo Noorah amemshirikisha Dully Sykes na Chegge. Pia Acha Ushamba imetengenezwa ndani ya Studio ya Smart Music chini ya Producer Godfather Mbezi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment