STREETCONSCIOUS.BLOG

Kupitia mtandao wa facebook, mkali huyo toka Moro-Town amesema..."Mambo niaje watu wangu Wengi wanataka kujua jina la ngoma mpya kiukweli bado hatujapata jina rasmi maana tukiwa tunaiskiza kila mtu anataja jina lake ila mpaka jumatatu tutakua na jina Rasmi la ngoma yetu mpya asanteni na siku njema"
0 comments:
Post a Comment