RUGE AAMURU BONGO FLEVA KUTOPIGWA KABISA SIKU YA LEO CLOUDS FM

Katika kuonyesha kile alichoita na msimamo wa kampuni yao,mkurugenzi wa vipindi wa radio clouds fm ya jijini Dar es salaam ameamuru nyimbo za bongo fleva kutopigwa kabisa katika redio hiyo siku ya leo.Katika kujibu shutuma alizoshutumiwa na msanii Lady Jay Dee kwamba anaharibu muziki wa kizazi kipya Ruge ameamua kuonyesha msimamo wake huo ikiwa ni kusisitizam juu ya uamuzi binafsi wa wao kama kampuni kuamua watakacho na sio kupangiwa na watu kwa matakwa yao.........

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment