
Kundi hilo ambalo linafanya vizuri sana na badhi ya ngoma zake kama Kuku, Potential, Cant Let u Go, Bread And Butter, Ability na nyinginezo linatarajia kuzindua album yake nyingine siku ya Ijumaa hii ya tarehe 10 May mwaka huu inayokwenda kwa jina la "OBUDDE" huko nchini UGANDA.
Album ya Obudde ambayo imebeba nyimbo kali sana kama Fantastic, Ba Customer, Take Me Home, Magnetic na nyinginezo kibao...
0 comments:
Post a Comment