Ney wa Mitego "Nick Mbishi Anatafuta Kick kwa Kunitungia Wimbo wa Kunidiss"

Msanii wa muziki wa Kizazi Kipya Toka Manzese Ney Wamitego amesema Nikki Mbishi na wasanii wengi wachanga huwa wanajaribu kuwa-diss wasanii wakubwa kwa lengo la kupata jina.
Ney alizungumza hayo pale alipoulizwa juu ya kitendo cha msanii Nikki Mbishi kutengeneza wimbo unaoitwa Ney Wamitego, wimbo ambao unaonekana moja kwa moja unamzungumzia Ney Wamitego kama mwanamke au mwanaume siyo.
Mwanzoni Ney alipoulizwa anachukuliaje kitendo cha msanii huyo kuandika wimbo unaomzungumzia yeye, Ney alikataa kuzugumza hilo huku akisema "Yaani kaka mimi nikiongea kitu tu mimi nampa kick ile anayotaka yule dogo, mi sitakiwi kuongea kitu, yaani hiki ndio kitu ambacho watu wa karibu wamekuja wameniambia this time huyu amefanya hiki kwa sababu ya hiki, so dont talk anything"
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment