M-RAP KUACHIA NGOMA MPYA SOON

M-Rap toka B'hitz Music Group Tz, baada ya DESTINY anakuja na ngoma nyingine. Ni muda sasa toka kuachia ngoma yake chini ya producer Pancho Latino na Hermy B, M-Rap amesema wakati wowote kuanzia sasa atakuja na ATTENTION ambayo amemshirikisha  tena "DEDDY".
Lion amesema, Watu wangu wakae tayari muda wowote kuanzia sasa ntaachia huo mzigo. #ATTENTION....
"Usiniuzie cheni feki ntakupa pesa ya bandia|ukijidai unanisntch ntajifanya sijakuskia. Poa yataingilia kushoto afu ntayatolea kulia|huwezi ukajiua kwa kubana pumzi yako, heheeee UTAUMIA ..Hayo ni baadhi ya maneno kwenye ngoma hiyo.....
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment