HII NDO DISS YA BOSS WA REEBOK KWENDA KWA MANAGEMENT YA RICK ROSS.



Posted in ,
Ile issue ya Rick Ross na na endorsement yake na Reebok bado inaendelea ... Kampuni hiyo iliyompiga chini rapper huyo baada ya kuandika mistari katika moja ya ngoma zake ikichochea mambo ya UBAKAJI ...
Mpya kuhusu sekeseke hilo ni kuwa boss wa Reebok, i mean the CEO amei-diss management ya Rozay na kuwaita "STUPID" ...
"It's unfortunate because he's a great guy, he just has stupid advisors around him ..." He said ...

CEO huyo ameendelea kudai kuwa, Rozay ni mtu poa ila watu wanaomzunguka na kumshauri ndio wenye matatizo ...
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment