GOMEZ ACHOCHEWA NA MARAFIKI KUMTOSA BIEBER



Marafiki wa muigizaji na mwanamuziki Selena Gomez wamemuomba rafiki yao kuachana na rafiki wake wa kiume Justin Bieber, uhusiano wa mapenzi yao ulivunjika tangu mwaka jana ingawa hivi karibuni alituma picha kwenye mtandao zikimuonyesha akiwa amekaa na bibier

Mmoja wa marafiki zake ambaye hakutaja jina lake aliliambia gazeti la The Sun kwamba uhusiano wao kwa sasa hauna nguvu


"Tumefanya kila liwezekanalo ili kuhakikisha wanaachana lakini hatukufanikiwa kiukweli uhusiano wao hauna nguvu ukizingatia umri wao mdogo " aliongezea rafiki huyo wa karibu
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment