DIAMOND ABARIKI PENZI LA NEY WA MITEGO




MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini Naseeb Abdul 'Diamond' amebariki mahusiano ya msanii mwenzie Ney wa Mitego  ambayo yeye mwenyewe bado hajataka kuyaweka wazi.

Diamond ameonekana kuvutiwa na mahusiano hayo yaliyopo kati ya msanii huyo pamoja na mwanamke ambaye Ney hakuliweka wazi jina lake, kwa kuwakutanisha wawili hao kukumbatiana ikiwa ni ishara ya mapenzi yao.

Akizungumza wakati anafanya kitendo hiko Diamond alizungumza maneno ya utani kwa Ney kuwa ampige busu bila kuogopa 
busu uoga .

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment