BREAKING NEWS:TAARIFA JUU YA KUFUTWA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012 NA KUSAHIHISHWA UPYA


Posted in Breaking News:
Kutoka Bungeni Dodoma tunaarifiwa kuwa baada ya matokeo ya kidato cha nne kuwa mabaya mwaka,hatimaye serikali imekubali mapendekezo ya awali ya tume ya uchanguzi ya matokeo ya kidato cha nne ya mwaka jana kufutwa na kusahihishwa upya kupitia mfumo wa usahihishaji wa mwaka 2011 haraka iwezekanavyo.


MITIHANI YA KIDATO CHA NNE 2012 KUSAHIHISHWA UPYA!


Tume iliyoundwa na Waziri Mkuu Tanzania Mhe. Mizengo Pinda ya kuchunguza matokeo ya kidato cha nne 2012, LEO imeitaka serikali ifute matokeo yote na mitihani isahihishwe upya!


Hayo yamesemwa bungeni leo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia sera na uratibu, Mhe. William Lukuvi.


Ukiwa kama muhusika wa moja kwa moja, au mdau wa elimu, au mwananchi wa kawaida uliyeguswa na matokeo hayo, MAONI yako ni nini kuhusu hili?
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment