Brand New Track:Mwana FA ft Kilimanjaro Band & Man Dojo & Domokaya--Kama Zamani


Ni ngoma mpya kutoka kwa rapper MwanaFA inayokwenda kwa jina la "KAMA ZAMANI" ...
KAMA ZAMANI imetengenezwa ndani ya studio za BONGO RECORDZ chini ya ushirikiano wa Producer P-FunkMajani pamoja na Kilimanjaro Band "Wananjenje" ...
Ndani ya DEBUT hii MwanaFA amewashirikisha wasanii wakongwe kabisa katika muziki, bendi ya Kilimanjaro Bandambayo inaundwa na Mzee WaziriMafumu Bilali na wengineo + wasanii wa kizazi kipya wa muda mrefu Mandojo naDomokaya.
Kuwa wa kwanza kuisikiliza KAMA ZAMANI hapa chini :
x
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment